Taarifa Kwa Umma:Kuongezwa kwa Muda wa Kutuma Maombi Mapya na Upandishaji Daraja wa Leseni za Maudhui (Utangazaji wa Kibiashara – Redio) Kutoka Tarehe 25 Juni 2023 Mpaka Tarehe 9 Julai 2023 kwa Maeneo Yaliyoainishwa Hapa Chini.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.