JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Ulinzi wa Watoto Mtandaoni (COP) ni suala la kimataifa linalohitaji jitihada za pamoja, mwitikio wa kimataifa, ushirikiano wa kimataifa na usimamizi wa kitaifa ili kuwalinda watoto dhidi ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na matumizi ya mtandao huku wakiwezeshwa kutumia fursa zilizopo kwenye mtandao.

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatambua umuhimu wa suala hili na imeanzisha mipango kadhaa inayojumuisha usimamizi wa kitaifa na kimataifa, kuwajengea uwezo, na rasilimali za mawasiliano ili kulinda watoto dhidi ya hatari na madhara yanayoweza kutokea.

Vidokezo vya usalama mtandaoni kwa watoto

Machapisho mengine ya ITU

  • https://www.itu.int/en/ITU-D/Cybersecurity/Pages/COP/COP.aspx

 

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!