JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
  1. Kuanzisha na kuratibu utekelezaji wa Sera na Taratibu za Kifedha na rasilimali Watu;
  2. Kuanzisha Taratibu, Sheria, Miongozo, na Kanuni kwa ajili ya usimamizi mzuri na wenye ufanisi wa rasilimali watu na fedha kwenye Mamlaka;
  3. Kuanzisha Sera na Taratibu kwa ajili ya mifumo mizuri na yenye ufanisi ya Usimamizi;
  4. Kutoa ushauri wa kitaalamu na kiufundi kuhusiana na usimamizi wa kifedha kwenye Mamlaka;
  5. Kusimamia maandalizi na utekelezaji wa Mikakati ya Mamlaka na Mipango ya Utekelezaji ya Mwaka na Bajeti na kufanya mapitio ya katikati ya mwaka ya Mpango Mkakati na bajeti;
  6. Kufuatilia na kufanyia tathmini utekelezaji wa Mipango Mkakati ya Mwaka ya Mamlaka;
  7. Weka viwango, michakato na vigezo vya taratibu za utendaji kazi kwa ajili ya Usimamizi wa Rasilimali Watu kupitia uanzishaji wa kanuni za Mamlaka zinazohusu Wafanyakazi na Fedha, Mwongozo wa Uhasibu;
  8. Kuratibu shughuli za Ukaguzi wa Nje na ndani ya Mamlaka;
  9. Kutumika kama Katibu kwenye Kamati za Uteuzi, Nidhamu na Mapitio;
  10. Kusimamia maandalizi yote ya Ripoti za utendaji kazi za Mamlaka;
  11. Kuandaa Ripoti za Menejimenti katika maeneo ya Usimamizi wa Rasilimali watu na Fedha, Kutoa Huduma za Kiutawala na Utekelezaji wa jumla wa Mipango ya Mamlaka;
  12. Kuratibu maendeleo ya mipango na bajeti ya muda mrefu na mfupi ya Mamlaka na kusimamia utekelezaji wake;
  13. Kuratibu mara kwa mara tathmini ya Utendaji kazi ya Mwaka kulingana na maofisa waliomo kwenye Kurugenzi;
  14. Kusimamia Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji na Miradi ya Mamlaka;
  15. Kutoa huduma za ITU.
Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!