JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015
  1. Kuanzisha na kuratibu utekelezaji wa sera zinazohusiana na maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano;
  2. Kubuni Vigezo, Taratibu, Sheria, Miongozo na Kanuni za uendeshaji wa mitandao, mifumo na huduma za mawasiliano;
  3. Kuandaa ratiba ya kazi za Kurugenzi za kusimamia na kuratibu utekelezaji na kutathmini utendaji kazi;
  4. Kuanzisha na kusimamia Miundombinu Muhimu ya Umma (PKI);
  5. Kusimamia uendeshaji wa Tz-CERT;
  6. Kusimamia Utekelezaji wa masuala yanayohusiana na Usalama dhidi ya Uhalifu Mtandaoni;
  7. Kusimamia majukumu ya TEHAMA ya Shirika;
  8. Kuratibu shughuli za mashirika ya Kikanda na Kimataifa yanayohusika na maendeleo ya sekta zinazodhibitiwa kulingana na Teknolojia na Viwango
Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!