
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania yashiriki katika shughuli za Mbio za Mwenge Maalum 2020/21 kwa kutoa elimu kwa wadau ikiwa ni ishara ya TCRA kuunga Mkono Kauli Mbiu isemayo "TEHAMA ni Msingi wa Taifa endelevu; itumike kwa usahihi na uwajibikaji"
Rudi kwenye matukio


