Mwanzo
Kuhusu
Huduma
Viunganishi
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Haki na Wajibu wa Watumiaji

Haki za Mteja wa Mawasiliano

  • Kupata huduma bora
  • Kupewa taarifa kuhusu huduma au bidhaa
  • Kutobaguliwa
  • Kulalamika
  • Kutatuliwa malalamiko yake
  • Kuhakikishiwa usalama wa bidhaa au huduma
  • Kuwa na faraga na usiri katika matumizi yake
  • Kuelimishwa
  • Kupewa taarifa kabla ya kusimamishwa au kukatisha huduma
  • Kuwakilishwa
  • Kupewa taarifa sahihi ya ankara
  • Kukata rufaa endapo haridhishwi na matumizi

 

Wajibu wa Mteja wa Mawasiliano

  • Kulipa ankara kwa wakati
  • Kutunza mazingira kwa kutotupa hovyo makasha na na kadi au vifaa vya simu vilivyotuka
  • Kutotambua kasoro katika utoaji huduma
  • Kuunga mkono uthibiti kwa kutoa taarifa
  • Kutunza nyenzo na miundombinu ya Mawasiliano
  • Kutumia huduma halali
  • Kuheshimu uhuru wa watuiaji wengine kwa kutowabugudhi
  • Kuzingatia sheria na kanuni

Kusoma zaidi bofya hapa

© 2023 TCRA, Haki zote zimehifadhiwa.