Haki na Wajibu wa Watumiaji
Haki za Mteja wa Mawasiliano
- Kupata huduma bora
- Kupewa taarifa kuhusu huduma au bidhaa
- Kutobaguliwa
- Kulalamika
- Kutatuliwa malalamiko yake
- Kuhakikishiwa usalama wa bidhaa au huduma
- Kuwa na faraga na usiri katika matumizi yake
- Kuelimishwa
- Kupewa taarifa kabla ya kusimamishwa au kukatisha huduma
- Kuwakilishwa
- Kupewa taarifa sahihi ya ankara
- Kukata rufaa endapo haridhishwi na matumizi
Wajibu wa Mteja wa Mawasiliano
- Kulipa ankara kwa wakati
- Kutunza mazingira kwa kutotupa hovyo makasha na na kadi au vifaa vya simu vilivyotuka
- Kutotambua kasoro katika utoaji huduma
- Kuunga mkono uthibiti kwa kutoa taarifa
- Kutunza nyenzo na miundombinu ya Mawasiliano
- Kutumia huduma halali
- Kuheshimu uhuru wa watuiaji wengine kwa kutowabugudhi
- Kuzingatia sheria na kanuni