JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

TUNU KUU

  1. Weledi: Tunatekeleza majukumu yetu kwa kutoa huduma bora tukizingatia maadili na heshima  kwa wateja wetu;
  2. Utendaji wa Pamoja: Tunaamini katika utendaji kazi wa pamoja  ili kutatua matatizo na kutambua kwamba mawasiliano imara ni muhimu katika kujenga mazingira ya ushirikiano;
  3. Ubunifu: Tunazingatia ubunifu katika kushughulikia masuala ya kiudhibiti sanjari na mabadiliko ya teknolojia duniani;
  4. Uwajibikaji: Tunawajibika kikamilifu na kuchukua dhamana  tunapotoa huduma;
  5. Uadilifu: Tunatekeleza kazi zetu kwa kuzingatia maadili, uthabiti na uaminifu wa hali ya juu.

 

 

 

 

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!