Ugeni wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini Burundi (ARCT) Mr. Samuel Muhizi alipotembelea Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Tarehe 01 Julai, 2021.
Tanzania ni Mwenyeji wa Mkutano wa 28 wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Taasisi za TEHAMA (EACO). Mkutano huo uliongozwa na Mwenyekiti wa EACO ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri K. Bakari jijini Dar es Salaam tarehe 29 na 30 Juni, 2021.
Shindano la Kitaifa la Usalama Mtandaoni linalohusisha Vyuo Vikuu (Tanzania Bara na Visiwani), linaandaliwa na TCRA kwa kushirikiana na Silensec na kufanyika UDOM tarehe 21 Aprili 2021
Ziara ya Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa, Naibu waziri, Mhe. Abdallah Ulega pamoja na Wajumbe wa Wizara hiyo kutembelea Makao Makuu TCRA tarehe 8 Januari, 2021.
Ziara ya Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Engelbert Ndugulile, Naibu Waziri, Mhe. Mhandisi Kundo Andrea Mathew na Menejimenti ya Wizara kutembelea TCRA Makao Makuu tarehe 9 Desemba 2020.
Kikao cha Mtandaoni cha Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Mawasiliano) Mhe. Dkt. Zainabu Chaula na Watoa Huduma wa Mawasiliano ya Simu za Mkononi, MUX na Wasafirishaji wa Vifurushi na Vipeto tarehe 9 Juni, 2020.
=
Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.