Mwanzo
Kuhusu
Huduma
Viunganishi
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

TCRA yakabidhi Jengo la Ofisi kwa Tume ya TEHAMA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari (wa pili kulia) akisaini hati ya makubaliano na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Bw. Kundwe Moses Mwasaga, ambapo katika makubaliano hayo TCRA iliipatia Tume ya TEHAMA jengo la Mawasiliano lililopo eneo la Upanga, Dar es Salaam litakalowezesha utekelezaji wa shughuli za utawala za kila siku. Wanaoshuhudia ni maafisa wa TCRA na Tume.

© 2023 TCRA, Haki zote zimehifadhiwa.