JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

TCRA yakabidhi Jengo la Ofisi kwa Tume ya TEHAMA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari (wa pili kulia) akisaini hati ya makubaliano na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Bw. Kundwe Moses Mwasaga, ambapo katika makubaliano hayo TCRA iliipatia Tume ya TEHAMA jengo la Mawasiliano lililopo eneo la Upanga, Dar es Salaam litakalowezesha utekelezaji wa shughuli za utawala za kila siku. Wanaoshuhudia ni maafisa wa TCRA na Tume.

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!