JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Leseni zilizotolewa na TCRA Tarehe 8 na 9 Julai, 2021


Leseni zilizotolewa na TCRA Tarehe 8 na 9 Julai, 2021

 

TCRA inapenda kuwapongeza wadau wafuatao kwa kupata Leseni tarehe 8 na 9 Julai, 2021

1. Jina la Mmiliki wa Leseni: One Payment Tanzania Limited
Aina ya Leseni: National Application Services       
Tarehe ya Leseni Kutoka: 8th July, 2021

2.  Jina la Mmiliki wa Leseni: Mobishatra Tanzania Private Limited
Aina ya Leseni: National Application Services       
Tarehe ya Leseni Kutoka: 9th July, 2021

3. Jina la Mmiliki wa Leseni: Pesapal Tanzania Limited
Aina ya Leseni: National Application Services       
Tarehe ya Leseni Kutoka: 9th July, 2021

4. Jina la Mmiliki wa Leseni: Zaptech Limited
Aina ya Leseni: Regional Application Services      
Tarehe ya Leseni Kutoka: 9th July, 2021

5. Jina la Mmiliki wa Leseni: Milan Cable Television Limited
Aina ya Leseni: Regional Application Services      
Tarehe ya Leseni Kutoka: 9th July, 2021

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!