JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

TAARIFA KWA UMMA: WITO KWA WASICHANA KUSHIRIKI MASHINDANO YA UMAHIRI KATIKA TEHAMA, MWAKA 2022.


TAARIFA KWA UMMA:  WITO KWA WASICHANA KUSHIRIKI MASHINDANO Y...

 

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kuwatangazia na kuwakaribisha wasichana wenye Taaluma ya TEHAMA waliotengeneza au kubuni mradi wa TEHAMA unaotatua changamoto katika jamii, kushiriki Shindano la Umahiri wa TEHAMA kwa Wasichana litakaloambatana na maadhimisho ya Siku ya TEHAMA kwa wasichana (Girls in ICT Day), tarehe 28 Aprili, 2022.

Ili kushiriki tafadhali jaza fomu kupitia https://edodoso.gov.go.tz/index.php/915293?lang=en.

Mwisho wa kujisajili ni tarehe 13 Machi, 2022.

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!