Taarifa kwa Umma: Uamuzi Na.6 wa Gharama za Mwingiliano wa Mitandao ya Watoa Huduma za Mawasiliano ya Simu Katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Umetolewa Julai, 2023.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.