JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

Kikao Kazi cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali


Kikao Kazi cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Se...

 

Mgeni Rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Innocent Bashungwa, akikabidhi cheti cha Ushiriki kwa TCRA kilichopokelewa na Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa TCRA Bi. Mabel Masasi kwenye Kikao Kazi cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali Kilichofanyika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) ambapo TCRA pia ni mmoja wa wadhamini wa kikao hicho.

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!